Mathayo 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Wenye furaha ni ninyi wakati watu wanapowashutumu+ na kuwatesa+ na kusema kwa uwongo kila namna ya jambo baya juu yenu kwa ajili yangu. Mathayo 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu;+ lakini yule atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.+ Mathayo 24:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Ndipo watu watakapowatia ninyi katika dhiki+ na kuwaua+ ninyi, nanyi mtachukiwa+ na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+ 2 Timotheo 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa kweli, wote wanaotamani kuishi kwa ujitoaji-kimungu katika ushirika na Kristo Yesu watateswa pia.+ 1 Petro 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa kweli, mliitwa kwenye mwendo huu, kwa sababu hata Kristo aliteseka kwa ajili yenu,+ akiwaachia ninyi kielelezo ili mfuate hatua zake kwa ukaribu.+
11 “Wenye furaha ni ninyi wakati watu wanapowashutumu+ na kuwatesa+ na kusema kwa uwongo kila namna ya jambo baya juu yenu kwa ajili yangu.
22 Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu;+ lakini yule atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.+
9 “Ndipo watu watakapowatia ninyi katika dhiki+ na kuwaua+ ninyi, nanyi mtachukiwa+ na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+
12 Kwa kweli, wote wanaotamani kuishi kwa ujitoaji-kimungu katika ushirika na Kristo Yesu watateswa pia.+
21 Kwa kweli, mliitwa kwenye mwendo huu, kwa sababu hata Kristo aliteseka kwa ajili yenu,+ akiwaachia ninyi kielelezo ili mfuate hatua zake kwa ukaribu.+