Mathayo 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu;+ lakini yule atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.+ Yohana 15:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini watawatendea mambo yote haya kwa ajili ya jina langu, kwa sababu hawamjui aliyenituma.+ Matendo 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ingawa hivyo, Sauli akaanza kushughulikia kutaniko kwa njia mbaya kabisa. Akawa akivamia nyumba moja baada ya nyingine, akiwakokota nje wanaume na wanawake, na kuwatia gerezani.+
22 Nanyi mtachukiwa na watu wote kwa sababu ya jina langu;+ lakini yule atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.+
3 Ingawa hivyo, Sauli akaanza kushughulikia kutaniko kwa njia mbaya kabisa. Akawa akivamia nyumba moja baada ya nyingine, akiwakokota nje wanaume na wanawake, na kuwatia gerezani.+