10 ambayo, kwa kweli, niliyafanya katika Yerusalemu, na wengi kati ya watakatifu niliwafunga gerezani,+ kwa kuwa nilikuwa nimepokea mamlaka kutoka kwa wakuu wa makuhani;+ na walipokuwa wanapaswa kuuawa, mimi nilipiga kura yangu dhidi yao.
13 Bila shaka, ninyi mlisikia juu ya mwenendo wangu hapo zamani katika dini ya Kiyahudi,+ kwamba kufikia hatua ya kuzidi mno niliendelea kulitesa+ kutaniko la Mungu na kuliangamiza,+