Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini Sauli, bado akiwatisha wanafunzi+ wa Bwana na akitaka kuwaua,+ akamwendea kuhani mkuu

  • Matendo 22:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami niliitesa Njia hii mpaka kifo,+ nikifunga na kutia magerezani+ wanaume na wanawake pia,

  • Matendo 26:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 ambayo, kwa kweli, niliyafanya katika Yerusalemu, na wengi kati ya watakatifu niliwafunga gerezani,+ kwa kuwa nilikuwa nimepokea mamlaka kutoka kwa wakuu wa makuhani;+ na walipokuwa wanapaswa kuuawa, mimi nilipiga kura yangu dhidi yao.

  • 1 Wakorintho 15:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana mimi ni mdogo+ zaidi kati ya mitume, nami sifai kuitwa mtume, kwa sababu nililitesa+ kutaniko la Mungu.

  • Wagalatia 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Bila shaka, ninyi mlisikia juu ya mwenendo wangu hapo zamani katika dini ya Kiyahudi,+ kwamba kufikia hatua ya kuzidi mno niliendelea kulitesa+ kutaniko la Mungu na kuliangamiza,+

  • Wafilipi 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 kwa habari ya bidii, nikilitesa kutaniko;+ kwa habari ya uadilifu ulio kwa njia ya sheria, mtu aliyejionyesha kuwa bila lawama.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki