3 Ingawa hivyo, Sauli akaanza kushughulikia kutaniko kwa njia mbaya kabisa. Akawa akivamia nyumba moja baada ya nyingine, akiwakokota nje wanaume na wanawake, na kuwatia gerezani.+
2 na kumwomba barua za kwenda kwenye masinagogi katika Damasko, ili apate kuwaleta Yerusalemu wakiwa wamefungwa wowote ambao angewapata walio wa Ile Njia,+ wanaume na wanawake.
13 ijapokuwa hapo zamani nilikuwa mkufuru na mtesaji+ na mtu mwenye dharau.+ Hata hivyo, nilionyeshwa rehema,+ kwa sababu nilikosa ujuzi+ nami nilitenda kwa ukosefu wa imani.