26 na, baada ya kumpata, akamleta Antiokia. Hivyo ikatukia kwamba kwa mwaka mzima wakakusanyika pamoja nao katika kutaniko na kufundisha umati mkubwa, na kule Antiokia ndipo ambapo kwa mara ya kwanza wanafunzi kwa uongozi wa kimungu waliitwa Wakristo.+
14 Lakini ninakiri jambo hili kwako, kwamba, kulingana na ile njia wanayoiita ‘madhehebu,’ kwa namna hii mimi ninatoa utumishi mtakatifu kwa Mungu wa mababu zangu,+ kwa kuwa ninaamini mambo yote yaliyo katika Sheria+ na kuandikwa katika Manabii;