Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye hapa ana mamlaka kutoka kwa wakuu wa makuhani kuwatia vifungoni wale wote wanaoliitia jina lako.”+

  • Matendo 11:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 na, baada ya kumpata, akamleta Antiokia. Hivyo ikatukia kwamba kwa mwaka mzima wakakusanyika pamoja nao katika kutaniko na kufundisha umati mkubwa, na kule Antiokia ndipo ambapo kwa mara ya kwanza wanafunzi kwa uongozi wa kimungu waliitwa Wakristo.+

  • Matendo 22:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami niliitesa Njia hii mpaka kifo,+ nikifunga na kutia magerezani+ wanaume na wanawake pia,

  • Matendo 24:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini ninakiri jambo hili kwako, kwamba, kulingana na ile njia wanayoiita ‘madhehebu,’ kwa namna hii mimi ninatoa utumishi mtakatifu kwa Mungu wa mababu zangu,+ kwa kuwa ninaamini mambo yote yaliyo katika Sheria+ na kuandikwa katika Manabii;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki