Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 18:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nitawainulia wao nabii kutoka katikati ya ndugu zao, kama wewe;+ nami nitaweka maneno yangu katika kinywa chake,+ naye atasema nao yote nitakayomwamuru.+

  • Matendo 28:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Basi wakapanga siku fulani ya kuwa pamoja naye, nao wakaja kwake wakiwa hesabu kubwa zaidi katika makao yake. Naye akawaeleza jambo hilo kwa kutoa ushahidi kamili kuhusiana na ufalme wa Mungu+ na kwa kutumia ushawishi kwao kuhusu Yesu kutoka katika sheria ya Musa+ na pia Manabii,+ tangu asubuhi mpaka jioni.

  • Waroma 3:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini sasa uadilifu+ wa Mungu umefunuliwa bila sheria, kama unavyotolewa ushahidi+ na Sheria+ na Manabii;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki