4 Kwa imani Abeli alimtolea Mungu dhabihu ya thamani kubwa zaidi kuliko Kaini,+ imani ambayo kupitia hiyo alitolewa ushahidi kwamba yeye alikuwa mwadilifu, Mungu akitoa ushahidi+ kuhusu zawadi zake; na kupitia hiyo yeye, ijapokuwa alikufa, bado anasema.+