Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kisha Mungu akamwambia Musa tena:

      “Hivi ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli, ‘Yehova Mungu wa mababu zenu, Mungu wa Abrahamu,+ Mungu wa Isaka+ na Mungu wa Yakobo,+ amenituma kwenu.’ Hilo ndilo jina langu mpaka wakati usio na kipimo,+ na huo ndio ukumbusho wangu kwa kizazi baada ya kizazi.+

  • Matendo 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo,+ Mungu wa mababu zetu, amemtukuza+ Mtumishi+ wake, Yesu, ambaye ninyi mlimpeleka+ na kumkana mbele ya uso wa Pilato, alipokuwa ameamua kumfungua.+

  • Matendo 26:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hata hivyo, kwa sababu nimeupata msaada+ kutoka kwa Mungu ninaendelea mpaka leo kutoa ushahidi kwa wadogo na wakubwa pia, lakini bila kusema lolote ila mambo ambayo Manabii+ na vilevile Musa+ walisema yatatukia,

  • 2 Timotheo 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ninamshukuru Mungu, ninayemtolea utumishi mtakatifu+ kama mababu+ zangu walivyofanya na nikiwa na dhamiri safi,+ kwamba siachi kamwe kukukumbuka katika dua zangu,+ usiku na mchana

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki