Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nami+ nitaweka uadui+ kati yako+ na yule mwanamke+ na kati ya uzao wako+ na uzao wake.+ Yeye+ atakuponda+ kichwa+ nawe+ utamtia jeraha+ kwenye kisigino.”+

  • Mwanzo 49:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+

  • Kumbukumbu la Torati 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Sikiliza, Ee Israeli: Yehova Mungu wetu ni Yehova mmoja.+

  • Kumbukumbu la Torati 18:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nitawainulia wao nabii kutoka katikati ya ndugu zao, kama wewe;+ nami nitaweka maneno yangu katika kinywa chake,+ naye atasema nao yote nitakayomwamuru.+

  • Yohana 5:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Kwa kweli, ikiwa mngalimwamini Musa mngaliniamini mimi, kwa maana huyo aliandika juu yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki