14 Wewe ndiye kerubi aliyetiwa mafuta anayefunika, nami nimekuweka wewe. Ulikuwa katika mlima mtakatifu wa Mungu.+ Ulitembea katikati ya mawe yenye moto.
9 Kwa hiyo yule joka+ mkubwa akatupwa chini, yule nyoka wa zamani,+ yeye anayeitwa Ibilisi+ na Shetani,+ anayeipotosha dunia nzima inayokaliwa;+ akatupwa chini duniani,+ na malaika zake wakatupwa chini pamoja naye.