4 ambao katikati yao mungu wa mfumo huu wa mambo+ amezipofusha akili za wasioamini,+ ili nuru+ ya habari njema yenye utukufu+ juu ya Kristo, aliye mfano+ wa Mungu, isipenyeze mwangaza.+
2 ambazo wakati fulani mlitembea ndani yake kulingana na mfumo wa mambo+ wa ulimwengu huu, kulingana na mtawala+ wa mamlaka ya hewa, roho+ ambayo sasa hutenda katika wana wa kutotii.+