Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ambao katikati yao mungu wa mfumo huu wa mambo+ amezipofusha akili za wasioamini,+ ili nuru+ ya habari njema yenye utukufu+ juu ya Kristo, aliye mfano+ wa Mungu, isipenyeze mwangaza.+

  • 2 Wakorintho 11:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na si ajabu, kwa maana Shetani mwenyewe huendelea kujigeuza mwenyewe kuwa malaika wa nuru.+

  • Waefeso 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 ambazo wakati fulani mlitembea ndani yake kulingana na mfumo wa mambo+ wa ulimwengu huu, kulingana na mtawala+ wa mamlaka ya hewa, roho+ ambayo sasa hutenda katika wana wa kutotii.+

  • 1 Yohana 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Tunajua tunatokana na Mungu,+ lakini ulimwengu mzima unakaa katika nguvu za yule mwovu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki