1 Wakorintho 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi sisi tulipokea, si roho+ ya ulimwengu, bali roho+ inayotoka kwa Mungu, ili tuyajue mambo ambayo Mungu ametupa sisi kwa fadhili.+ Yakobo 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Au je, inaonekana kwenu kwamba andiko linasema hivi bila kusudi lolote: “Roho+ ambayo imefanya makao ndani yetu hutamani kuwa na mwelekeo wa kuona wivu”?
12 Basi sisi tulipokea, si roho+ ya ulimwengu, bali roho+ inayotoka kwa Mungu, ili tuyajue mambo ambayo Mungu ametupa sisi kwa fadhili.+
5 Au je, inaonekana kwenu kwamba andiko linasema hivi bila kusudi lolote: “Roho+ ambayo imefanya makao ndani yetu hutamani kuwa na mwelekeo wa kuona wivu”?