Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 13:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Yeyote anaposikia neno la ufalme lakini haelewi maana yake, yule mwovu+ huja na kunyakua kile ambacho kimepandwa moyoni mwake; huyo ndiye aliyepandwa kando ya barabara.

  • Luka 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 naye Ibilisi akamwambia: “Hakika nitakupa mamlaka+ yote hii na utukufu wake, kwa sababu nimepewa, na yeyote ninayetaka mimi humpa.+

  • Yohana 12:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Sasa ulimwengu huu unahukumiwa; sasa mtawala wa ulimwengu+ huu atatupwa nje.+

  • Waebrania 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi, kwa kuwa “watoto wachanga” ni washiriki wa damu na mwili, yeye pia vivyo hivyo aliyashiriki mambo hayohayo,+ ili kupitia kifo+ chake apate kumwangamiza+ yule aliye na uwezo wa kusababisha kifo,+ yaani, Ibilisi;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki