Yohana 12:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Sasa ulimwengu huu unahukumiwa; sasa mtawala wa ulimwengu+ huu atatupwa nje.+ Yohana 14:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Sitasema mengi tena kamwe pamoja nanyi, kwa maana mtawala+ wa ulimwengu anakuja. Naye hana uwezo juu yangu,+ Waefeso 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 ambazo wakati fulani mlitembea ndani yake kulingana na mfumo wa mambo+ wa ulimwengu huu, kulingana na mtawala+ wa mamlaka ya hewa, roho+ ambayo sasa hutenda katika wana wa kutotii.+
30 Sitasema mengi tena kamwe pamoja nanyi, kwa maana mtawala+ wa ulimwengu anakuja. Naye hana uwezo juu yangu,+
2 ambazo wakati fulani mlitembea ndani yake kulingana na mfumo wa mambo+ wa ulimwengu huu, kulingana na mtawala+ wa mamlaka ya hewa, roho+ ambayo sasa hutenda katika wana wa kutotii.+