Ufunuo 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi yule mnyama-mwitu niliyemwona alikuwa kama chui,+ lakini miguu yake ilikuwa kama ya dubu,+ na kinywa chake kilikuwa kama kinywa cha simba.+ Na yule joka+ mkubwa akampa huyo mnyama nguvu zake na kile kiti chake cha ufalme na mamlaka kubwa.+
2 Basi yule mnyama-mwitu niliyemwona alikuwa kama chui,+ lakini miguu yake ilikuwa kama ya dubu,+ na kinywa chake kilikuwa kama kinywa cha simba.+ Na yule joka+ mkubwa akampa huyo mnyama nguvu zake na kile kiti chake cha ufalme na mamlaka kubwa.+