Danieli 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Na, tazama! mnyama mwingine, wa pili, aliye kama dubu.+ Naye alikuwa ameinuliwa upande mmoja,+ na kulikuwa na mifupa mitatu ya mbavu kinywani mwake kati ya meno yake; nao walikuwa wakimwambia hivi, ‘Simama, ule nyama nyingi.’+
5 “Na, tazama! mnyama mwingine, wa pili, aliye kama dubu.+ Naye alikuwa ameinuliwa upande mmoja,+ na kulikuwa na mifupa mitatu ya mbavu kinywani mwake kati ya meno yake; nao walikuwa wakimwambia hivi, ‘Simama, ule nyama nyingi.’+