-
Waebrania 2:14Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
14 Kwa hiyo, kwa kuwa “watoto wachanga” ni washiriki wa damu na mwili, yeye pia hivyohivyo alishiriki mambo yaleyale, ili kupitia kifo chake apate kumfanya kuwa si kitu yule aliye na uwezo wa kusababisha kifo, yaani, Ibilisi;
-