Ezekieli 28:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nilikuweka kuwa kerubi anayefunika aliyetiwa mafuta. Ulikuwa kwenye mlima mtakatifu wa Mungu,+ nawe ulitembea-tembea kati ya mawe yenye moto.
14 Nilikuweka kuwa kerubi anayefunika aliyetiwa mafuta. Ulikuwa kwenye mlima mtakatifu wa Mungu,+ nawe ulitembea-tembea kati ya mawe yenye moto.