Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nami+ nitaweka uadui+ kati yako+ na yule mwanamke+ na kati ya uzao wako+ na uzao wake.+ Yeye+ atakuponda+ kichwa+ nawe+ utamtia jeraha+ kwenye kisigino.”+

  • Mwanzo 49:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+

  • Kumbukumbu la Torati 18:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nabii kutoka katikati yako mwenyewe, kutoka kwa ndugu zako, kama mimi, ndiye ambaye Yehova Mungu wako atakuinulia—ninyi mnapaswa kumsikiliza yeye+—

  • Luka 24:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Sasa akawaambia: “Haya ndiyo maneno yangu niliyowaambia nilipokuwa ningali pamoja nanyi,+ kwamba mambo yote yaliyoandikwa katika sheria ya Musa na katika Manabii+ na Zaburi+ juu yangu lazima yatimizwe.”

  • Yohana 1:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Filipo akamkuta Nathanaeli+ na kumwambia: “Tumempata yule ambaye Musa, katika Sheria,+ na Manabii,+ aliandika juu yake, Yesu, mwana wa Yosefu,+ kutoka Nazareti.”

  • Matendo 26:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hata hivyo, kwa sababu nimeupata msaada+ kutoka kwa Mungu ninaendelea mpaka leo kutoa ushahidi kwa wadogo na wakubwa pia, lakini bila kusema lolote ila mambo ambayo Manabii+ na vilevile Musa+ walisema yatatukia,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki