10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+
16 Sasa ahadi zilitolewa kwa Abrahamu+ na kwa uzao wake.+ Haisemi: “Na kwa wazao,” kana kwamba ni wengi wa namna hiyo, bali kana kwamba ni mmoja:+ “Na kwa uzao wako,”+ ambaye ni Kristo.+