9 Kwa maana Mungu, ambaye ninamtolea utumishi mtakatifu kwa roho yangu kuhusiana na ile habari njema juu ya Mwana wake, ni shahidi+ wangu wa jinsi ninavyowataja sikuzote katika sala zangu bila kuacha,+
12Kwa sababu hiyo nawasihi ninyi kwa huruma za Mungu, akina ndugu, mtoe miili+ yenu iwe dhabihu+ iliyo hai,+ takatifu,+ yenye kukubalika kwa Mungu,+ utumishi mtakatifu+ pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+