1 Wathesalonike 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 huku usiku na mchana tukiomba dua+ ambazo ni zaidi kuliko zile za kawaida ili tuone nyuso zenu na kutimiza mambo yanayokosekana juu ya imani yenu?+ 2 Timotheo 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ninamshukuru Mungu, ninayemtolea utumishi mtakatifu+ kama mababu+ zangu walivyofanya na nikiwa na dhamiri safi,+ kwamba siachi kamwe kukukumbuka katika dua zangu,+ usiku na mchana
10 huku usiku na mchana tukiomba dua+ ambazo ni zaidi kuliko zile za kawaida ili tuone nyuso zenu na kutimiza mambo yanayokosekana juu ya imani yenu?+
3 Ninamshukuru Mungu, ninayemtolea utumishi mtakatifu+ kama mababu+ zangu walivyofanya na nikiwa na dhamiri safi,+ kwamba siachi kamwe kukukumbuka katika dua zangu,+ usiku na mchana