2 Timotheo 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ninamshukuru Mungu, ninayemtolea utumishi mtakatifu+ kama mababu+ zangu walivyofanya na nikiwa na dhamiri safi,+ kwamba siachi kamwe kukukumbuka katika dua zangu,+ usiku na mchana
3 Ninamshukuru Mungu, ninayemtolea utumishi mtakatifu+ kama mababu+ zangu walivyofanya na nikiwa na dhamiri safi,+ kwamba siachi kamwe kukukumbuka katika dua zangu,+ usiku na mchana