Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Watu watawafukuza ninyi katika sinagogi.+ Kwa kweli, saa inakuja wakati ambapo kila mtu anayewaua ninyi atafikiri amemtolea Mungu utumishi mtakatifu.+

  • Matendo 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ingawa hivyo, Sauli akaanza kushughulikia kutaniko kwa njia mbaya kabisa. Akawa akivamia nyumba moja baada ya nyingine, akiwakokota nje wanaume na wanawake, na kuwatia gerezani.+

  • 1 Wakorintho 15:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana mimi ni mdogo+ zaidi kati ya mitume, nami sifai kuitwa mtume, kwa sababu nililitesa+ kutaniko la Mungu.

  • Wagalatia 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Bila shaka, ninyi mlisikia juu ya mwenendo wangu hapo zamani katika dini ya Kiyahudi,+ kwamba kufikia hatua ya kuzidi mno niliendelea kulitesa+ kutaniko la Mungu na kuliangamiza,+

  • 1 Timotheo 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 ijapokuwa hapo zamani nilikuwa mkufuru na mtesaji+ na mtu mwenye dharau.+ Hata hivyo, nilionyeshwa rehema,+ kwa sababu nilikosa ujuzi+ nami nilitenda kwa ukosefu wa imani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki