Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Ndipo watu watakapowatia ninyi katika dhiki+ na kuwaua+ ninyi, nanyi mtachukiwa+ na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+

  • Matendo 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Naye Sauli alikuwa akikubaliana na kuuawa kwake.+

      Katika siku hiyo mateso+ makubwa yakatokea juu ya kutaniko lililokuwa katika Yerusalemu; wote isipokuwa mitume walitawanywa+ kotekote katika maeneo ya Yudea na Samaria.

  • Matendo 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Alimuua kwa upanga+ Yakobo ndugu ya Yohana.+

  • Matendo 26:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na kwa kuwaadhibu nyakati nyingi katika masinagogi+ yote nilijaribu kuwalazimisha wakane imani yao; na kwa kuwa nilikuwa nimejawa na wazimu kupita kiasi juu yao, nilifikia hatua ya kuwatesa hata katika majiji ya nje.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki