8Naye Sauli alikuwa akikubaliana na kuuawa kwake.+
Katika siku hiyo mateso+ makubwa yakatokea juu ya kutaniko lililokuwa katika Yerusalemu; wote isipokuwa mitume walitawanywa+ kotekote katika maeneo ya Yudea na Samaria.
11 Na kwa kuwaadhibu nyakati nyingi katika masinagogi+ yote nilijaribu kuwalazimisha wakane imani yao; na kwa kuwa nilikuwa nimejawa na wazimu kupita kiasi juu yao, nilifikia hatua ya kuwatesa hata katika majiji ya nje.