Mathayo 20:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Akawaambia: “Kwa kweli mtakunywa kikombe changu,+ lakini kuketi upande wangu wa kuume na upande wangu wa kushoto sina haki ya kutoa, bali wataketi wale ambao Baba yangu amewatayarishia.”+ Luka 11:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Kwa ajili ya hili hekima+ ya Mungu ilisema pia, ‘Nitatuma kwao manabii na mitume, nao watawaua na kuwatesa baadhi yao,
23 Akawaambia: “Kwa kweli mtakunywa kikombe changu,+ lakini kuketi upande wangu wa kuume na upande wangu wa kushoto sina haki ya kutoa, bali wataketi wale ambao Baba yangu amewatayarishia.”+
49 Kwa ajili ya hili hekima+ ya Mungu ilisema pia, ‘Nitatuma kwao manabii na mitume, nao watawaua na kuwatesa baadhi yao,