17 Basi, ikiwa sisi ni watoto, sisi pia ni warithi: warithi wa Mungu kwelikweli, lakini warithi+ pamoja na Kristo, mradi tu tunateseka+ pamoja ili pia tutukuzwe pamoja.+
7 Na kwa hiyo tumaini letu kwa ajili yenu haliyumbi-yumbi, tukijua kama tunavyojua kwamba, kama vile mlivyo washiriki wa hayo mateso, vivyo hivyo ninyi pia mtaishiriki faraja.+
9 Mimi Yohana, ndugu yenu na mshiriki pamoja nanyi katika dhiki+ na ufalme+ na uvumilivu+ kwa kushirikiana na Yesu,+ nilikuja kuwa katika kisiwa kinachoitwa Patmo kwa sababu ya kusema juu ya Mungu na kutoa ushahidi kumhusu Yesu.+