Waroma 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa sababu hiyo nahesabu kwamba mateso+ ya majira haya si kitu kwa kulinganisha na utukufu+ utakaofunuliwa ndani yetu. 2 Timotheo 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 tukiendelea kuvumilia, tutatawala pamoja pia tukiwa wafalme;+ tukimkana,+ yeye pia atatukana sisi;
18 Kwa sababu hiyo nahesabu kwamba mateso+ ya majira haya si kitu kwa kulinganisha na utukufu+ utakaofunuliwa ndani yetu.
12 tukiendelea kuvumilia, tutatawala pamoja pia tukiwa wafalme;+ tukimkana,+ yeye pia atatukana sisi;