Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Watu watawafukuza ninyi katika sinagogi.+ Kwa kweli, saa inakuja wakati ambapo kila mtu anayewaua ninyi atafikiri amemtolea Mungu utumishi mtakatifu.+

  • Matendo 7:59
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 59 Nao wakaendelea kumtupia Stefano mawe huku akiomba na kusema: “Bwana Yesu, pokea roho yangu.”+

  • Matendo 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Alimuua kwa upanga+ Yakobo ndugu ya Yohana.+

  • Ufunuo 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na kila mmoja wao akapewa kanzu nyeupe;+ nao wakaambiwa wapumzike tena muda kidogo, mpaka ijazwe pia hesabu ya watumwa wenzao na ndugu zao waliokuwa karibu kuuawa+ kama vile wao pia walivyouawa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki