Mathayo 24:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Ndipo watu watakapowatia ninyi katika dhiki+ na kuwaua+ ninyi, nanyi mtachukiwa+ na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+ Matendo 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini Sauli, bado akiwatisha wanafunzi+ wa Bwana na akitaka kuwaua,+ akamwendea kuhani mkuu 2 Wakorintho 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana sisi hatutaki ninyi mkose kujua, akina ndugu, juu ya dhiki iliyotupata katika wilaya ya Asia,+ kwamba tulikuwa chini ya mkazo mkubwa mno unaoshinda nguvu zetu, hivi kwamba hatukuwa na uhakika kabisa hata juu ya uhai wetu.+
9 “Ndipo watu watakapowatia ninyi katika dhiki+ na kuwaua+ ninyi, nanyi mtachukiwa+ na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+
8 Kwa maana sisi hatutaki ninyi mkose kujua, akina ndugu, juu ya dhiki iliyotupata katika wilaya ya Asia,+ kwamba tulikuwa chini ya mkazo mkubwa mno unaoshinda nguvu zetu, hivi kwamba hatukuwa na uhakika kabisa hata juu ya uhai wetu.+