Matendo 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa hiyo akawatuma wawili kati ya wale waliomhudumia, Timotheo+ na Erasto,+ waende Makedonia lakini yeye mwenyewe akakawia kwa wakati fulani katika wilaya ya Asia. Matendo 20:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Walipofika kwake akawaambia: “Ninyi mnajua vema jinsi tangu siku ya kwanza niliyokanyaga wilaya ya Asia+ nilivyokuwa pamoja nanyi wakati wote,+
22 Kwa hiyo akawatuma wawili kati ya wale waliomhudumia, Timotheo+ na Erasto,+ waende Makedonia lakini yeye mwenyewe akakawia kwa wakati fulani katika wilaya ya Asia.
18 Walipofika kwake akawaambia: “Ninyi mnajua vema jinsi tangu siku ya kwanza niliyokanyaga wilaya ya Asia+ nilivyokuwa pamoja nanyi wakati wote,+