Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 19:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Wakati huo kukatokea mvurugo+ usio mdogo kuhusu Ile Njia.+

  • 1 Wakorintho 15:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Ikiwa, kama wanadamu, nimepigana na wanyama-mwitu katika Efeso,+ hiyo ina faida gani kwangu? Ikiwa wafu hawatafufuliwa, “na tule na tunywe, kwa maana kesho tutakufa.”+

  • 1 Wakorintho 16:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 kwa maana nimefunguliwa mlango mkubwa unaoongoza kwenye utendaji,+ lakini kuna wapinzani wengi.

  • 2 Wakorintho 11:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Je, wao ni wahudumu wa Kristo? Mimi najibu kama mwenda-wazimu, mimi ni mhudumu kwa njia yenye kutokeza hata zaidi:+ katika kazi za jasho kwa wingi zaidi,+ katika vifungo vya gereza kwa wingi zaidi,+ katika mapigo kwa kuzidi mno, katika kukaribia kufa mara nyingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki