2 na kumwomba barua za kwenda kwenye masinagogi katika Damasko, ili apate kuwaleta Yerusalemu wakiwa wamefungwa wowote ambao angewapata walio wa Ile Njia,+ wanaume na wanawake.
9 Lakini wengine walipoendelea kujifanya wenyewe wagumu na kutoamini,+ wakisema vibaya juu ya Ile Njia+ mbele ya umati, akaondoka kwao+ na kuwatenga wanafunzi kutoka kwao,+ kila siku akitoa hotuba nyingi katika jumba la shule ya Tirano.