Matendo 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana nitamwonyesha wazi ni mambo mangapi ambayo atateseke kwa ajili ya jina langu.”+ 2 Wakorintho 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 bali katika kila njia tunajipendekeza+ kuwa wahudumu wa Mungu, kwa kuvumilia mengi, kwa dhiki, kwa hali za uhitaji, kwa magumu,+ 1 Petro 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa kweli, mliitwa kwenye mwendo huu, kwa sababu hata Kristo aliteseka kwa ajili yenu,+ akiwaachia ninyi kielelezo ili mfuate hatua zake kwa ukaribu.+
4 bali katika kila njia tunajipendekeza+ kuwa wahudumu wa Mungu, kwa kuvumilia mengi, kwa dhiki, kwa hali za uhitaji, kwa magumu,+
21 Kwa kweli, mliitwa kwenye mwendo huu, kwa sababu hata Kristo aliteseka kwa ajili yenu,+ akiwaachia ninyi kielelezo ili mfuate hatua zake kwa ukaribu.+