Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 20:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 ila kwamba kutoka jiji mpaka jiji roho takatifu+ inatoa ushahidi kwangu kwa kurudiarudia inaposema kwamba vifungo na dhiki vinaningojea.+

  • Matendo 21:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 naye akaja mahali tulipokuwa na kuuchukua mshipi wa Paulo, akafunga miguu na mikono yake mwenyewe na kusema: “Hivi ndivyo inavyosema roho takatifu, ‘Mwanamume ambaye mshipi huu ni wake, Wayahudi watamfunga+ hivi katika Yerusalemu na kumtia+ mikononi mwa watu wa mataifa.’ ”

  • 2 Wakorintho 11:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Je, wao ni wahudumu wa Kristo? Mimi najibu kama mwenda-wazimu, mimi ni mhudumu kwa njia yenye kutokeza hata zaidi:+ katika kazi za jasho kwa wingi zaidi,+ katika vifungo vya gereza kwa wingi zaidi,+ katika mapigo kwa kuzidi mno, katika kukaribia kufa mara nyingi.+

  • Wakolosai 1:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ninashangilia sasa katika mateso yangu kwa ajili yenu,+ nami, kwa upande wangu, ninajazia kinachopungua cha dhiki+ za Kristo katika mwili wangu kwa ajili ya mwili wake, ambao ni kutaniko.+

  • 2 Timotheo 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa sababu hii ninavumilia+ pia mambo haya, lakini sioni aibu.+ Kwa maana namjua yule ambaye nimemwamini, nami nina hakika anaweza kukilinda+ kile ambacho nimeweka amana kwake mpaka siku ile.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki