11 naye akaja mahali tulipokuwa na kuuchukua mshipi wa Paulo, akafunga miguu na mikono yake mwenyewe na kusema: “Hivi ndivyo inavyosema roho takatifu, ‘Mwanamume ambaye mshipi huu ni wake, Wayahudi watamfunga+ hivi katika Yerusalemu na kumtia+ mikononi mwa watu wa mataifa.’ ”