Mathayo 16:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndipo Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe na kuuchukua mti wake wa mateso na kunifuata sikuzote.+ Yohana 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana niliweka kielelezo kwa ajili yenu, ili, kama vile nilivyowafanyia ninyi, ninyi pia mfanye hivyo.+
24 Ndipo Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe na kuuchukua mti wake wa mateso na kunifuata sikuzote.+
15 Kwa maana niliweka kielelezo kwa ajili yenu, ili, kama vile nilivyowafanyia ninyi, ninyi pia mfanye hivyo.+