Mathayo 23:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo mambo yote wanayowaambia ninyi,+ yafanyeni na kuyashika, lakini msifanye kulingana na matendo yao,+ kwa maana wao husema lakini hawatendi. Wafilipi 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Iweni na mtazamo huu wa akili ndani yenu ambao ulikuwa pia ndani ya Kristo Yesu,+ 1 Petro 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa kweli, mliitwa kwenye mwendo huu, kwa sababu hata Kristo aliteseka kwa ajili yenu,+ akiwaachia ninyi kielelezo ili mfuate hatua zake kwa ukaribu.+ 1 Yohana 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yeye anayesema kwamba anakaa katika muungano+ na yeye yuko chini ya wajibu yeye mwenyewe pia kuendelea kutembea kama vile huyo alivyotembea.+
3 Kwa hiyo mambo yote wanayowaambia ninyi,+ yafanyeni na kuyashika, lakini msifanye kulingana na matendo yao,+ kwa maana wao husema lakini hawatendi.
21 Kwa kweli, mliitwa kwenye mwendo huu, kwa sababu hata Kristo aliteseka kwa ajili yenu,+ akiwaachia ninyi kielelezo ili mfuate hatua zake kwa ukaribu.+
6 Yeye anayesema kwamba anakaa katika muungano+ na yeye yuko chini ya wajibu yeye mwenyewe pia kuendelea kutembea kama vile huyo alivyotembea.+