5 Yeye atakayeshinda+ atapambwa hivyo mavazi meupe ya nje;+ nami sitalifuta kwa vyovyote jina lake kutoka katika kitabu cha uzima,+ bali nitalikiri jina lake mbele za Baba+ yangu na mbele ya malaika+ zake.
4 Na kuzunguka kile kiti cha ufalme pande zote kulikuwa na viti vya ufalme 24, na juu ya viti hivyo vya ufalme+ niliona wameketi wazee+ 24+ waliovikwa mavazi meupe ya nje,+ na juu ya vichwa vyao kulikuwa na mataji ya dhahabu.+