1 Mambo ya Nyakati 24:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi wana wa Haruni walikuwa na migawanyo yao. Wana wa Haruni walikuwa Nadabu+ na Abihu,+ Eleazari+ na Ithamari.+ 1 Mambo ya Nyakati 24:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 ya 23 ya Delaya, ya 24 ya Maazia. Luka 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Katika siku za Herode,+ mfalme wa Yudea, kulikuwa na kuhani aliyeitwa Zekaria wa mgawanyo wa Abiya,+ naye alikuwa na mke kutoka kwa binti za Haruni,+ na jina lake lilikuwa Elisabeti.
24 Basi wana wa Haruni walikuwa na migawanyo yao. Wana wa Haruni walikuwa Nadabu+ na Abihu,+ Eleazari+ na Ithamari.+
5 Katika siku za Herode,+ mfalme wa Yudea, kulikuwa na kuhani aliyeitwa Zekaria wa mgawanyo wa Abiya,+ naye alikuwa na mke kutoka kwa binti za Haruni,+ na jina lake lilikuwa Elisabeti.