Ufunuo 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 naye alitufanya tuwe ufalme,+ makuhani+ kwa Mungu na Baba yake—ndiyo, kwake yeye na kuwe utukufu na nguvu milele.+ Amina. Ufunuo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wale wazee 24+ huanguka chini mbele za Yule anayeketi juu ya kile kiti cha ufalme na kumwabudu+ Yule anayeishi milele na milele, nao hutupa mataji yao mbele ya kile kiti, wakisema:
6 naye alitufanya tuwe ufalme,+ makuhani+ kwa Mungu na Baba yake—ndiyo, kwake yeye na kuwe utukufu na nguvu milele.+ Amina.
10 wale wazee 24+ huanguka chini mbele za Yule anayeketi juu ya kile kiti cha ufalme na kumwabudu+ Yule anayeishi milele na milele, nao hutupa mataji yao mbele ya kile kiti, wakisema: