Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 16:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Mhesabieni Yehova utukufu wa jina lake,+

      Chukueni zawadi na mwingie mbele zake.+

      Mwinamieni Yehova katika pambo takatifu.+

  • Zaburi 95:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Ingieni, tuabudu na kuinama;+

      Na tupige magoti+ mbele za Yehova Mtengenezaji wetu.+

  • Ufunuo 19:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo nikaanguka chini mbele ya miguu yake ili kumwabudu yeye.+ Lakini yeye ananiambia: “Uwe mwangalifu! Usifanye hivyo!+ Mimi ni mtumwa mwenzako tu na wa ndugu zako walio na kazi ya kutoa ushahidi kumhusu Yesu.+ Mwabudu Mungu;+ kwa maana kutoa ushahidi kumhusu Yesu ndilo kusudi la unabii.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki