23 Nimeapa kwa nafsi yangu mwenyewe+—neno limetoka kinywani mwangu katika uadilifu,+ hivi kwamba halitarudi+—kwamba kila goti litapigwa mbele zangu,+ kila ulimi utaapa,+
10 Ndipo Yesu akamwambia: “Nenda zako, Shetani! Kwa maana imeandikwa, ‘Yehova Mungu wako ndiye unayepaswa kumwabudu,+ na yeye peke yake+ ndiye unayepaswa kumtolea utumishi mtakatifu.’ ”+
7 akisema kwa sauti kubwa: “Mwogopeni Mungu+ na kumpa utukufu,+ kwa sababu saa ya hukumu yake imefika,+ na kwa hiyo mwabuduni Yeye aliyezifanya+ mbingu na dunia na bahari na chemchemi za maji.”+
9 Lakini yeye akaniambia: “Uwe mwangalifu! Usifanye hivyo! Mimi ni mtumwa mwenzako tu na wa ndugu zako walio manabii+ na wa wale wanaoshika maneno ya kitabu hiki cha kukunjwa. Mwabudu Mungu.”+