Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na Yehova Mungu akamfanya mtu kutoka katika mavumbi+ ya nchi+ na kupuliza katika mianzi ya pua yake pumzi ya uhai,+ naye mtu akawa nafsi hai.+

  • Ayubu 35:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na ingawa hivyo hakuna yeyote ambaye amesema, ‘Yuko wapi Mungu, Mtengenezaji Mkuu wangu,+

      Yeye anayetoa muziki wakati wa usiku?’+

  • Zaburi 100:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Jueni kwamba Yehova ni Mungu.+

      Yeye ndiye aliyetufanya, wala si sisi wenyewe.+

      Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+

  • Mathayo 19:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Akajibu, akasema: “Je, hamkusoma kwamba yeye aliyewaumba hao kutoka mwanzo aliwafanya mwanamume na mwanamke+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki