Zaburi 42:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakati wa mchana Yehova ataamuru fadhili zake zenye upendo,+Na wakati wa usiku wimbo wake utakuwa nami;+Kutakuwako sala kwa Mungu wa uhai wangu.+ Zaburi 77:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nitakumbuka muziki wangu wa kinanda wakati wa usiku;+Nitaonyesha hangaiko moyoni,+Na roho yangu itatafuta kwa uangalifu. Zaburi 149:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Washikamanifu na washangilie katika utukufu;Na wapige vigelegele kwa shangwe vitandani mwao.+ Matendo 16:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini karibu na katikati ya usiku+ Paulo na Sila walikuwa wakisali na kumsifu Mungu kwa wimbo;+ ndiyo, wafungwa walikuwa wakiwasikia.
8 Wakati wa mchana Yehova ataamuru fadhili zake zenye upendo,+Na wakati wa usiku wimbo wake utakuwa nami;+Kutakuwako sala kwa Mungu wa uhai wangu.+
6 Nitakumbuka muziki wangu wa kinanda wakati wa usiku;+Nitaonyesha hangaiko moyoni,+Na roho yangu itatafuta kwa uangalifu.
25 Lakini karibu na katikati ya usiku+ Paulo na Sila walikuwa wakisali na kumsifu Mungu kwa wimbo;+ ndiyo, wafungwa walikuwa wakiwasikia.