Ayubu 35:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na ingawa hivyo hakuna yeyote ambaye amesema, ‘Yuko wapi Mungu, Mtengenezaji Mkuu wangu,+Yeye anayetoa muziki wakati wa usiku?’+ Zaburi 32:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wewe ni mahali pangu pa kujificha; utanilinda kutokana na taabu.+Utanizingira kwa vigelegele vya shangwe kwa sababu ya kuniokoa.+ Sela. Zaburi 63:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wakati ninapokukumbuka kitandani mwangu,+Wakati wa makesha ya usiku natafakari juu yako.+
10 Na ingawa hivyo hakuna yeyote ambaye amesema, ‘Yuko wapi Mungu, Mtengenezaji Mkuu wangu,+Yeye anayetoa muziki wakati wa usiku?’+
7 Wewe ni mahali pangu pa kujificha; utanilinda kutokana na taabu.+Utanizingira kwa vigelegele vya shangwe kwa sababu ya kuniokoa.+ Sela.