Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:58
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 58 “Ikiwa hutakuwa mwangalifu kutimiza maneno yote ya sheria hii ambayo yameandikwa katika kitabu+ hiki ili kuliogopa hili jina tukufu+ na lenye kuogopesha,+ naam,Yehova,+ Mungu wako,

  • Nehemia 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao Walawi, Yeshua na Kadmieli, Bani, Hashabneya, Sherebia, Hodia, Shebania na Pethahia wakasema: “Simameni, mbarikini+ Yehova Mungu wenu milele na milele.+ Na walibariki jina lako tukufu,+ ambalo limeinuliwa juu ya baraka na sifa zote.

  • Zaburi 66:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Upigieni muziki utukufu wa jina lake.+

      Tukuzeni sifa yake.+

  • Zaburi 148:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na walisifu jina la Yehova,+

      Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+

      Utukufu wake uko juu ya dunia na mbingu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki