Nehemia 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nao Walawi, Yeshua na Kadmieli, Bani, Hashabneya, Sherebia, Hodia, Shebania na Pethahia wakasema: “Simameni, mbarikini+ Yehova Mungu wenu milele na milele.+ Na walibariki jina lako tukufu,+ ambalo limeinuliwa juu ya baraka na sifa zote. Zaburi 72:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na jina lake tukufu na libarikiwe mpaka wakati usio na kipimo,+Nao utukufu wake na uijaze dunia yote.+Amina na Amina. Zaburi 96:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mhesabieni Yehova utukufu wa jina lake;+Chukueni zawadi na mwingie katika nyua zake.+
5 Nao Walawi, Yeshua na Kadmieli, Bani, Hashabneya, Sherebia, Hodia, Shebania na Pethahia wakasema: “Simameni, mbarikini+ Yehova Mungu wenu milele na milele.+ Na walibariki jina lako tukufu,+ ambalo limeinuliwa juu ya baraka na sifa zote.
19 Na jina lake tukufu na libarikiwe mpaka wakati usio na kipimo,+Nao utukufu wake na uijaze dunia yote.+Amina na Amina.