Ufunuo 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na kila mmoja wao akapewa kanzu nyeupe;+ nao wakaambiwa wapumzike tena muda kidogo, mpaka ijazwe pia hesabu ya watumwa wenzao na ndugu zao waliokuwa karibu kuuawa+ kama vile wao pia walivyouawa. Ufunuo 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndiyo, amepewa ruhusa ya kupambwa kitani bora, changavu, safi, kwa maana hicho kitani bora humaanisha matendo ya uadilifu ya watakatifu.”+
11 Na kila mmoja wao akapewa kanzu nyeupe;+ nao wakaambiwa wapumzike tena muda kidogo, mpaka ijazwe pia hesabu ya watumwa wenzao na ndugu zao waliokuwa karibu kuuawa+ kama vile wao pia walivyouawa.
8 Ndiyo, amepewa ruhusa ya kupambwa kitani bora, changavu, safi, kwa maana hicho kitani bora humaanisha matendo ya uadilifu ya watakatifu.”+