Ufunuo 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na kuzunguka kile kiti cha ufalme pande zote kulikuwa na viti vya ufalme 24, na juu ya viti hivyo vya ufalme+ niliona wameketi wazee+ 24+ waliovikwa mavazi meupe ya nje,+ na juu ya vichwa vyao kulikuwa na mataji ya dhahabu.+ Ufunuo 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndiyo, amepewa ruhusa ya kupambwa kitani bora, changavu, safi, kwa maana hicho kitani bora humaanisha matendo ya uadilifu ya watakatifu.”+
4 Na kuzunguka kile kiti cha ufalme pande zote kulikuwa na viti vya ufalme 24, na juu ya viti hivyo vya ufalme+ niliona wameketi wazee+ 24+ waliovikwa mavazi meupe ya nje,+ na juu ya vichwa vyao kulikuwa na mataji ya dhahabu.+
8 Ndiyo, amepewa ruhusa ya kupambwa kitani bora, changavu, safi, kwa maana hicho kitani bora humaanisha matendo ya uadilifu ya watakatifu.”+